Gallery
Ikumbukwe kuwa Amber Lulu alijipatia umaarufu mkubwa kwa kupiga picha za nusu utupu, hadi zingine kumsababishia kuwa na kesi polisi baada ya kuvuja mitandaoni akiwa na msanii Young Dee, ambaye alikuwa naye kwenye mahusiano.
Diamond Platnumz na Wema Sepetu wameendelea kuliimarisha penzi lao kadri siku zinavyoenda. Uhakika wa kuwa wapenzi hawa wenye uhusiano wa ‘on and off’ wamerudiana kwa kasi, ulijulikana baada ya picha zao wakiwa Hong Kong kusambaa mtandaoni hali iliyopelekea kuzuka mgogoro mkubwa kati ya Diamond na mpenzi wake Penny ambaye kuna tetesi kuwa wameshaachana rasmi.
“Hee, ninavyoijua pesa jina langu lenyewe linajieleza, sasa nawezaje kukataa dili la hela ikiwa sidhuriki chochote maana kama ni picha zangu kila kukicha natupia mtandaoni, mtu si anaweza kuchukua tu, lakini mpaka kaniomba kaniheshimu itabidi anilipe kama shilingi milioni 50.”
“Ni kweli napiga picha zisizo na maadili kwa nchi yetu ambazo zinaweza kumshawishi mtu kunipa dili la aina hiyo japo kwa kucheza sipo tayari, ila picha akinipa shilingi milioni 200 nakubali anipige hizo picha.”
“Kipindi hiki pesa ilivyokuwa ngumu naanzaje kukataa, kwani ninavyoweka picha zangu huko mtandaoni kuna mtu ananilipa na mbona nasemwa sana, bora nikasemwa nikiwa nimefaidika tena kupitia picha yangu tu tatizo liko wapi, nikipewa shilingi milioni 100 nakubali.”
Ni vyema wasanii hawa wakazingatia maadili ya Kitanzania kwa kuepuka kupiga picha za utupu kwa namna yoyote. Watafute fedha kwa njia halali kutokana na kazi zao. Waache kuiga mastaa wa nje kama vile Rihanna, Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo ambao wamekuwa wakilipwa pesa ndefu kwa kupiga picha hizo ambazo zimekuwa zikitumika kwenye majarida na mitandao mbalimbali.
Katika hali ya kusikitisha, wapendanao waliokula kiapo cha kuvumiliana kwenye shida na raha, afya na maradhi wamelazimika kukiweka kando kiapo chao na kujikuta wakiwa katika hali ya sintofahamu baada ya kupokea zawadi ya picha chafu za bibi harusi akifanya mapenzi kinyume cha maumbile.
Tukio hilo la kusikitisha limetokea jijini Dar es Salaam hivi karibuni, ambapo kwa mujibu wa maelezo ya wanandoa hao pamoja na rafiki wa mume aliyewasindikiza katika tukio la ndoa (best man), walipokea picha hizo wiki siku moja baada ya kutoka kwenye fungate (honeymoon).
Akizungumza na kipindi cha Ubaoni cha E-Fm hivi karibuni, rafiki wa bwana harusi aliyejitambulisha kwa jina la Geoffrey Nicholaus alisema kuwa yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza kuziona picha hizo wakati alipokuwa akifungua zawadi za maharusi hao baada ya kutoka kwenye fungate, Juni 29 mwaka huu.
“Nilikuta ndugu zake wote wako pale. Nikakuta kuna mabox ya zawadi pale kwahiyo akaniomba nimsaidie pale kufungua mizigo ya zawadi. Sasa wakati tunaanza shughuli ya kufungua Box la kwanza… la pili nikaona zile picha, zile picha za mke wake sio nzuri kwakweli nishtuka,” Geoffrey alisema.



















